Mafuta ni muhimu mwilini, isipokuwa yanahitajika kwa kiasi
kidogo;
hivyo kuepuka kabisa ulaji wa mafuta huweza kuleta
yanapotumiwa
kwa kiasi kikubwa yanaweza kuleta madhara mwilini. Hivyo ni
Kuna
aina kuu mbili za mafuta; yale yanayopatikana katika vyakula vya asili ya
wanyama
na yale yatokanayo na mimea.
i) Mafuta yenye asili ya wanyama
Mafuta
yenye asili ya wanyama huwa yameganda katika joto la kawaida.
Mafuta
haya ni kama nyama iliyonona, nyama ya nundu, samli, siagi, jibini
na
maziwa yenye mafuta. Mafuta haya yana lehemu kwa kiasi kikubwa.
Utumiaji
wa mafuta haya huongeza hatari ya kupata magonjwa ya moyo,
kuwa
na uzito uliozidi na unene uliokithiri au kisukari. Hivyo ni muhimu
kupunguza
utumiaji wa mafuta haya.
ii) Mafuta yatokanayo na mimea
joto
la kawaida na kwa kawaida mafuta haya hayana lehemu. Mafuta haya ni
kama
mafuta ya soya, ufuta, karanga, alizeti, mawese, pamba na nazi. Mifano
mingine
ni pamoja na mbegu zitoazo mafuta kama za korosho, kweme na
mbegu
za maboga. Mafuta haya ndiyo bora zaidi kuyatumia ukilinganisha
na
yale yenye asili ya wanyama kwani huboresha afya ya mwili. Hata hivyo ni
muhimu
kuyatumia kwa kiasi kidogo.
No comments:
Post a Comment
wasiliana nami