Monday, 18 August 2014

Albino akatwa kiungo Tabora

Matukio ya kukata viungo vya walemavu wa ngozi (albino), yameendelea mkoani hapa, ambapo juzi mlemavu wa pili katika muda usiozidi wiki mbili, amekatwa kiwiko cha mkono wake na wahusika kutoweka nacho kusikojulikana. soma zaidi

No comments:

Post a Comment

wasiliana nami