haribifu
mwilini na hivyo kuulinda mwili dhidi ya maradhi mbalimbali. Asali
ina
virutubishi mbalimbali ikiwa ni pamoja na vitamini, madini na protini kwa
kiasi
kidogo. Vilevile, asali ina sukari nyingi ambayo ni asilimia themanini (80%).
sukari,
hivyo ikitumika kwa wingi huongeza uzito wa mwili.
Asali
iliyokomaa kwa kawaida ina kiasi kidogo cha maji, chini ya asilimia ishirini
(20%).
Asali iliyoongezewa maji inachacha mapema (inaharibika) na inaota
ukungu
(fangasi), ambao wakati mwingine hauonekani kwa macho. Kwa kawaida
asali
iliyokomaa na isiyochanganywa maji ikihifadhiwa vizuri haiharibiki kwa
miaka
mingi, bila hata ya kuwekwa kwenye jokofu.
Kiasili,
asali ilikuwa ikitumika kwa sababu maalum na kiasi kidogo tu, hivyo
hatari
ya kumwongezea mtu uzito haikuwepo. Mara nyingi mtu anayetumia asali
alikuwa
anatumia kijiko kimoja au viwili kwa siku na sio kila siku. Hata hivyo,
hivyo
husababisha walengwa kutumia asali kwa wingi. Hii si kweli. Ikumbukwe
kwamba
asali ina nishati-lishe kwa wingi ambayo huchangia kuongeza uzito wa
mwili
hivyo huweza kuleta madhara iwapo itatumika kupita kiasi.
No comments:
Post a Comment
wasiliana nami